PACOME MACHOZI NA DAMU KUFUZU KOMBE LA DUNIA LEO.
Baada ya kupatikana kwa mataifa 6 kutoka Afrika yaliyofuzu kombe la dunia leo ndio mwisho wa mchakato huo kwa upande wa Afrika na zimebaki nafasi 3 kukamilisha nafasi 9 za moja kwa moja za bara hilo huku nafasi ya 10 ni ya kugombaniwa kwa mechi za mtaona zitakazohusisha na timu kutoka mabara mengine.
Katika ratiba ya leo mataifa ya Afrika Kusini, DR Congo, Ivory Coast, Senegal, Nigeria na Benin yana nafasi kubwa ya kufuzu. Pata ratiba ya mechi za leo 👇
16:00 Jioni Ushelisheli vs Gambia
19:00 Usiku Algeria vs Uganda
19:00 Usiku Guinea vs Botswana
19:00 Usiku Nigeria vs Benin
19:00 Usiku Somalia vs Msumbiji
19:00 Usiku Afrika Kusini vs Rwanda
22:00 Usiku DR Congo vs Sudan
22:00 Usiku Gabon vs Burundi
22:00 Usiku Ivory Coast vs Kenya
22:00 Usiku Morocco vs Congo
22:00 Usiku Senegal vs Mauritania
✍ @yasri_ibrahy



Comments
Post a Comment