TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA.
Viongozi wa vyama vya siasa na wa serikali wakiongozwa na Rais Dk. John Joseph Magufuli, wakisaliana na kuagana bila kushikana viganja vya mikono ikiwa ni utii wa agizo la wazili wa afya Mh. Ummy Mwalimu ikiwa ni tahadhari ya kujikinga na virusi vya #CORONA ambavyo vinazidi kuenea katika baadhi ya nchi duniani.





Comments
Post a Comment