LIPUMBA: HATUTASUSIA TENA UCHAGUZI NCHINI

#siasa
LIPUMBA: HATUTASUSIA TENA UCHAGUZI NCHINI

- Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba amesema pamoja na demokrasia kuyumba, hawatasusia Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu

- Amesema, watahakikisha wana Wagombea katika maeneo yote ya Tanzania Bara na Visiwani


Comments

Popular Posts