wanajeshi wavamia bunge

#habari
Wanajeshi na Polisi nchini El Salvador wamevamia Bunge wakishinikiza kuidhinishwa kwa mkopo wa USD Million 109 ili kuwanunulia vifaa vya kivita na vya kuzuia uhalifu, waliingia Bungeni wakati Rais Nayib Bukele akijiandaa kulihutubia Bunge, Rais Bukele ameunga mkono uvamizi huo.

Comments

Popular Posts