sumaye arejea ccm

#siasa

Waziri Mkuu wa zamani Fredrick Sumaye amerejea CCM na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Dkt.Bashiru Ally, Sumaye alitoka CCM na kuhamia CHADEMA kisha akakihama Chama hicho akisema hatojiunga na Chama chochote kwa wakati huo hadi leo alipoamua kurudi CCM.

Comments

Popular Posts