Skip to main content
Rais Magufuri afanya uteuzi mpya wizara ya michezo
#habari
Rais
John Magufuli amewateua makatibu wakuu wapya wa wizara tano akiwamo
aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa
Serikali, Dkt. Hassan Abbasi kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo
Comments
Post a Comment