MAGONJWA YA KUKU NA TIBA
#MAKALA
YAFAHAMU MAGONJWA MBALIMBALI YANAYOSHAMBULIA KUKU.
SEHEMU 1.
#KIDERI
YAFAHAMU MAGONJWA MBALIMBALI YANAYOSHAMBULIA KUKU.
SEHEMU 1.
#KIDERI
- Ugonjwa huu hutokea mara kwa mara na mara nyingi hushambulia kuku wadogo, na hata wakati mwengine kuku wakubwa.
- huweza kusababisha vifo vingi (high flock mortality) na vifo hivi huwa kati ya asilimia 30 hadi 100
- Dalili muhimu za ugonjwa huu ni kama,
- Kukosa hamu ya kula, mfumo wa usagaji chakula kushindwa kufanya kazi inavyopaswa
- Kuharisha kijani
- Kupumua kwa shida
- Kuathirika kwa mfumo wa fahamu na kuku kupooza viungo.
- Ugonjwa huu husababishwa na virusi na hivyo njia pekee ya kuepukana na ugonjwa huu ni kuwapa chanjo kuku wote bandani ikijumuisha vifaranga vya wiki mbili.
- Pia kutumia viuadudu (Antibiotics) kama vile Oxyfarm 20% na Vitamini kuzuia magonjwa nyemelezi baada ya kuugua.



Comments
Post a Comment