Sita muhimu waongezewa mikataba Simba SC


1 Mchezaji Emmanuel Okwi ameongeza mkataba wa miaka mitatu kuendelea kuitumikia klabu ya Simba SC okwi alikua anahisishwa kuondo katika klabu ya Simba Mwishoni mwa Msimu huu.

2 Mchezaji Clotous Chota Chama  yeye ameongeza mkataba wa miaka 3 ya kuendelea kuitumikia klabu ya Simba, Chama amehudumu vyema katika kikosi cha Simba Msimu huu

3 Baada ya Azam FC kutikisa kiberiti ili ipate huduma ya Nahodha Wa klabu ya Simba John Rafael Bocco  hatimaye amesaini mkataba  miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu ya Simba SC



4 Mnyarwanda Haruna Fadhili Hakizimana Niyonzima  na yeye ameongeza kandarasi ya Miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu ya Simba SC

5 Kiungo Fundi Jonas Gerald Mkude  baada ya Kuhusishwa kuwa ataachana na kikosi cha Mabingwa watetezi hao nayeye amesaini Kandarasi ya Miaka Miwili kuitumikia klabu ya Simba SC

6 Golikipa Mwenye mafanikio makubwa Nchini Tanzania Aishi Salum Manula amesaini kandarasi ya Miaka miwili kuitumikia klabu ya Simba SC

zoezi litaisha rasmi 23.05.2019

Comments

Popular Posts