Ajibu: Mpira ni kazi yangu nitaenda popote
KATIKA toleo la jana la Gazeti la Spoti Xtra, mshambuliaji Ibrahim Ajibu wa Yanga alinukuliwa akisema hivi: “Kwangu mimi mpira ni kazi yangu, timu ambayo inanifuata ikafuata utaratibu nitaenda, sina tatizo lolote…”



Comments
Post a Comment